Ads (728x90)

Powered by Blogger.




Chama cha Soka cha Halmashauri ya wilaya ya Songea Vijijini (sorufa); leo hii kimegawa Mipira 10 kwa timu Tano za watoto wadogo.

Timu zilizonufaika na mipira hiyo toka TFF ni Namiholo Queens (Peramiho), Jenista Kids (Nakauga), Toto Fc, Young Kids ya Mharule pamoja na Red Kids ya Peramiho ambapo kila timu imepata mipira miwili.

Mgeni Rasmi katika zoezi hilo ni Mwenyekiti wa serikali wa Peramiho A Mh. David Kapinda. Mipira hiyo ni ile 100 iliyotolewa na TFF kila mkoa kwa ajili ya kuendeleza soka la vijana.





















Post a Comment